Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya umuhimu wa Ziara ya Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO), Bw. Raymond Benjamin (kulia) kwa nchi ya Tanzania. Katibu Mkuu huyo atakuwa nchini Tanzania kwa siku tano ambapo tarehe 16 Mei 2014 atakwenda Zanzibar. Tanzania ni miongoni mwa nchi mbili za Afrika ambazo zimepata bahati ya kutembelewa na Katibu Mkuu huyo.
Thursday, May 15, 2014
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO) ATEMBELEA NCHINI TANZANIA
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya umuhimu wa Ziara ya Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO), Bw. Raymond Benjamin (kulia) kwa nchi ya Tanzania. Katibu Mkuu huyo atakuwa nchini Tanzania kwa siku tano ambapo tarehe 16 Mei 2014 atakwenda Zanzibar. Tanzania ni miongoni mwa nchi mbili za Afrika ambazo zimepata bahati ya kutembelewa na Katibu Mkuu huyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment