
Dina Marios akiwa na mdau Michuzijr na Abrahamu

Abrahamu akiwa na mwanawe na mwenye urembo kichwani ni mtoto wa Michuzijr

Watoto walipata fursa ya kuchora nyuso zao kwa picha wazipendazo! binti wa Abrahamu alipenda kipepeo.

Meza hii ilikua maalum kwa watoto kwa rangi rangi, hao wengine wanasubiria zamu yao.

Watoto wanapenda sana midoli. ilikuwepo,

Watoto wakiajabia burudani walowekewa

Mi huita hicho kitanda mtande, watoto wakibarizi wakati wengine wakisubiri nao wale raha

Spiderman akinifanyia vibweka

Dada Dina alinambia hichi kitu kinaitwa trampoline, mtoto ama watoto huruka ruka juu yake raha tupu

Ambwa hii ni treni ya mchangani

Watoto wakiwa ndani ya hiyo treni

Watoto wengine waliamua kuelea

Ilikua ni full kujiachia na uso ng'aring'ari

Akina baba nao wali show love kwa kuwaleta watoto wao kujichanganya na wenzao ambao ni yatima!big up Michuzijr na Abraham

Janet Mwenda akiwa na Dina Marios na mdau wa Dina waki show love n support.

Janet Mwenda muda wote hutabasamu na hapa anafurahia watoto wakicheza na kutifuka mchangani

Mwinda huwindwa!mpiga picha wa blogg ya sherehe yetu naye alikua mzigoni

Producer wa Leo tena bwana Kaneno na mpiga wa blogg ya Dina naye alikuwepo

Jamaa alikua busy kuupiamo picha mtandaoni huku akiwa kaachiwa juice za washkaji wao wakiwa wanajiachia.

Nilikuwepo pia, washkaji walikua hawakamatiki, hata picha kupiga nao ilibidi niwashikilie, maana walikua wanaona nawachelewesha

Swaggar is on baby!
Jana vile vituo vitatu vya kulea watoto yatima
ambavyo dina’scare care ilivichagua kuvisaidia mahitaji mbalimbali japo kwa
asilia kidogo vya sifa group foundation cha bunju b’ zaidia orphan cha sinza na
vetenaly orphan
vilikutana pamoja na wazazi na watoto
wao,wasanii na wadau mbalimbali kula na kucheza pamoja lengo likiwa ni
kuwafanya watoto hao wasijisikie upweke
No comments:
Post a Comment