
Mwanzo walivinjari pamoja saaaafi!

Baada ya kuona Kanye na Kim wanajisahau mno na kujiona wao wako peke yao akawa ana kaa mbali kidogo

Beyonce aliwahi kusema Kim anapenda attantion! Will alivumilia! akawapa nafasi.

oooh owky! ila Will anaonekana kutopenda hii ya wawili kusahau kua kuna watu wanahitaji kua pamoja nao.

Baadae katika floo ya Will kulikua na bata, hakuwaalika wapenzi wawili! ona chini walichokua wanafanya walau wawaone aaah wapi!wawili hao wakawa wapweke.

Wakaanza kuwafotoa walau wawaone, wapiii

Ikabidi wakubali matokeo! maskini wee.

wakawarushaje roho!

Will Smith akaendelea kupiga picha za kumwaga tu

Kanye akachoka kama kaboreka hivi! na Kim akawa anacheck picha alizopiga.

Isiwe taabu wacha nkupige picha mammy!
No comments:
Post a Comment