Friday, January 17, 2014

MAMBO? KAZI KWENU


Marion Elias



Wamama na Wadada,

 Kwanza nawape salamu za Mwaka mpya.

Pili: Natumai kuwa huu ujumbe utakukuta u katika njema pamoja na familia yako.  Kwa muda mrefu yumekuwa tukiandaa ama kuhudhuria sherehe mbali mbali za ufundaji a.k.a kitchen party.

Ila swali ni hili: Hizi shughuli ama mkusanyiko kiukweli haswa, zimesaidia kuponya nyumba zetu? Maadili yetu, Fikra zetu bila kuathiri IMANI yetu mbele ya MUUMBA wetu? Hapa kuna mwanya ama tatizo ambalo Ladies yatupasa kusaidiana kimawazo. Hivyo tukutane Tarehe 8, Februari 2014.

Tutachangishana kiasi cha Tzs. 30,000  kwa ajili ya vitafunwa na vinywaji kiasi.  Ukumbi, ni free maana kuna mkereketwa ameamua kujitolea. Siku ya siku tutaambizana mengi ikiwamo  uboreshaji wa Forum hii, na pia kuipa jina mkusanyiko huu, jina lenye Mvuto, Siha na Maudhui.

Kwa Mawasiliano zaidi wasiliana na Janeth 0754 24 8080

Na kwa Watsup tu: 0767024262

Mchoro wa Eneo utatumwa siku zikikaribia.

No comments:

Post a Comment