
Rais Jakaya Kikwete na
mkewe Mama Salma Kikwete, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili
wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli
za kuaga mwili huo zilizofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam,. Mwili huo umesafirishwa kuelekea Mkoani Iringa kwa maziko.

Rais Jakaya Kikwete, akiifariji familia ya marehemu Dkt.
William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga na kutoa heshima za mwisho
zilizofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Zakia Bilala,
wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa
Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo
zilizofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, janamchana.
Mwili huo umesafirishwa kuelekea Mkoani
Iringa kwa maziko.

Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Zakia Bilal,
wakiifariji familia ya marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za
kuaga na kutoa heshima za mwisho zilizofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee
jijini Dar es Salaam
Spika wa Bunge Anne
Makinda, akitoa heshima za mwisho.

Mama Maria Nyerere, akitoa
heshima za mwisho.

Mawaziri wakibeba Jeneza
lenye mwili wa marehemu Dkt. William Mgimwa wakati likipakiwa kwenye gari
tayari kuanza safari ya kuelekea Uwanja wa ndege kuelekea mkoani Iringa kwa
maziko.

Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana heshima za mwisho.

Mwenyekiti wa Chadema,
Freeman Mbowe, heshima za mwisho.

Baadhi ya viongozi wa vyama
vya siasa wakiwa katika shughuli hiyo.

Baadhi ya Mawaziriki wakiwa
katika foleni kuelekea kutoa heshima zao za mwiho.


Mwili ukipakiwa kwenye gari.
No comments:
Post a Comment