
Lufufu aliwahi kua
mwanajeshi, ni mtafsiri wa kwanza hapa Tanzania kwa kutazama sinema kwenye
projecta na kutafsiri kwa Kiswahili na watu wanasikiliza, na siku za karibuni
ametafsiri sinema ya home alone! Watoto wanampenda sana Lufufu kwa namna anavyowapa
mzuka kwa masimulizi yake.

Kelvin Twisa kutoka
Vodacom Tanzania ambaye ni Mkuu wa
Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania.

Sehemu ya umati wa watu
waloitikia wito wa kupata darasa la fursa! Hatari walitishaje?

Bwana shamba Yona
aliyehamasika na fursa! Akanihamasisha na mimi, tutakaa naye kikao jumatatu
kuanzisha kikundi chetu,tutafanya nini ntakutaarifu.

Sehemu ya jukwaa ilivyokua, na hapo DC wa Iramba Yahya nawanda akiongea.

Watu waliitikia mpaka viti vilikosekana wakasimama wima! asanteni sana

Walioamua kwenda kupata maujanja ili wabadili mtazamo wa maisha yao.

Dc Yahya Nawanda akiongea na Madam Rita akimfuatilia.

Peni mkononi kunukuu kitakachowagusa!

Liyeshika pua ni Simon Simalenga, afisa uhusiano Clouds Media Group,upande wa itifaki.

Madam Ritha Paulsen wa Benchmark Production akitoa uzoefu

Madam Ritha alitokelezea

Mc wa shughuli hiyo Gerald Hando, ambaye ni Brand Manager wa Cluster ya Powerbreakfast.

Moja ya speakers

Ma Mc wa shughuli, Mbwiga wa Mbwiguke na Gerald

Mbwiga,Bonge,Dada kutoka news room na Shebba Kussaga

Bidhaa za Fursa

Fursa ukiipata itumie

Sehemu ya Jukwaa kuu

Wahiriki

Simon Simalenga,Fauzia na Zamaradi Mketema wa Leo Tena akiwa ametulia

Adakadabra Mrisho mpoto sijui anafanya nini yailahi

Nikki wa Pili aki share alichopata kwenye fursa

washiriki wadarasa hilo
No comments:
Post a Comment