MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI NAIROBI, KENYA
Mwanasheria
wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki wakiongoza Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo.
Kushoto ni bwana Wilbert Kawa Katikati ni bwana Dr. Richard Sezibera na
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano Uganda. Mkutano huu umefanyika
katika ukumbi wa Kimataifa wa Kenyetta jijini Nairobi
Waziri
wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Samweli Sitta pamoja
na Waziri wa Uchukuzi Dkt Harrison Mwakyemba (wa pili kulia) , Waziri wa
nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mhe. George Mkuchika (kushoto) na
Mhe Ole Nangoro Naibu Waziri Kilimo na Mifugo (kulia) wakifuatilia kwa
makini jambo katika Mkutano wa Baraza la Mwawaziri wa Jumuiya Jijini
Nairobi.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Sethi Kamuhanda
(kulia) akifuatilia kwa makini mkutano unaoendelea Nairobi katika
Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya
No comments:
Post a Comment