Waziri wa Habari Utalii,Utamaduni na Michezo Saidi Ali Mbarouk akimpa zawadi ya nembo ya visiwa vya Unguja na Pemba mgeni wake ambae ni Waziri wa Kilimo na Chakula wa Turkey Mchmet Mehdi Eker.
Nae Waziri wa Kilimo na Chakula wa Turkey Mchmet Mehdi Eker akimpa zawadi Waziri wa Habari Utalii,Utamaduni na Michezo Saidi Ali Mbarouk huko katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Kikwajuni .
No comments:
Post a Comment