
Wednesday, March 27, 2013
MAFUNZO YA JKT YA MUDA MFUPI KWA WABUNGE YAFUNGWA RASMI

Tuesday, March 26, 2013
WAZIRI WA UCHUKUZI AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA WA TANZANIA NA UJUMBE WAKE OFISINI KWAKE
Waziri wa Serikali ya Uingereza anaeshughulika na Maswala ya Afrika, Bw. Mark Simmonds akifafanua jambo kwa Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwkyembe(Mwenye suti Nyeusi), wakati alipomtembelea waziri Mwakyembe ofisini kwake mwishoni mwa wiki. Kulia kwa Waziri Mwakyembe ni Balozi wa Uingereza Tanzania, Dianna Melsone.
Monday, March 25, 2013
Thursday, March 21, 2013
WATUHUMIWA 17 TAZARA WASIMAMISHWA KWA UCHUNGUZI
Wednesday, March 20, 2013
REDIO NAFUUU! TV? NJE KUNA KAZI
Kwa mtazamo wangu! redio presenter wana uhuru na nafuu kubwa mno kuliko Tv presenters! tazama hii kutoka nchi za mbele!
MWANZA: WATATU WAPOTEZA MAISHA,30 WUJERUHIWA KATIKA AJALI, ENEO LA NYAMANGOLO
Watu watatu wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 30 wamejeruhiwa vibaya baada
ya basi la abiria lililokuwa linatoka Musoma kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso
na lori la mizigo katika eneo la Nyamongolo Igoma jijini Mwanza.
ITV YATOA TAHADHARI JUU AKAUNTI FEKI YA FACEBOOK INAYOTUMIA NEMBO YAKE
Katika taarifa ya habari ,,imeelezwa kuwa ukurasa huo hutumika kujitangaza kuwa hutoa mikopo. ITV inawatahadharisha watu wote kujiepuha na ukurasa huo
MWANAMKE MMOJA WAUME WATANO, WOTE NDUGU, KILA MMOJA ZAMU YAKE KWENYE CHUMBA KIMOJA

MWANAMKE, Rajo Verma, 21, mkazi wa mjini Dehradun, India, anaishi na wanaume wake watano katika kibanda chenye chumba kimoja ambapo hulala na mwanamme mmoja kila usiku. Mwanamke huyo hana uhakika na baba wa mtoto wake mdogo wa kiume ambapo anasema: “Mwanzoni niliona matatizo kuwahudumia wote katika kuwapa unyumba. Lakini sasa nawahudumia wote bila upendeleo.” Mumewe mmoja aitwaye Guddu, 21, ambaye alikuwa wa kwanza kumwoa anasisitiza: “Wote tunafanya naye tendo la ndoa bila wivu.
ONYO KUHUSU MATANGAZO YA KAZI KWENYE BLOGU NA TOVUTI
Sekretarieti
ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa Sheria ya
Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18
ya mwaka 2007 kifungu 29 (1).
Ni vyema tufahamu kuwa chimbuko la Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma limetokana na maboresho yanayoendelea katika Utumishi wa Umma nchini. Ambapo miongoni mwa maboresho hayo ni pamoja na marekebisho ya Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya mwaka 1998 toleo Na. 2 la mwaka 2008 ambapo katika Vifungu Na. 4.6 na 6.6. vya Sera hiyo ambavyo vimetamka kuwepo kwa chombo maalum cha kushughulikia mchakato wa masuala ya ajira katika Utumishi wa Umma.
Ni vyema tufahamu kuwa chimbuko la Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma limetokana na maboresho yanayoendelea katika Utumishi wa Umma nchini. Ambapo miongoni mwa maboresho hayo ni pamoja na marekebisho ya Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya mwaka 1998 toleo Na. 2 la mwaka 2008 ambapo katika Vifungu Na. 4.6 na 6.6. vya Sera hiyo ambavyo vimetamka kuwepo kwa chombo maalum cha kushughulikia mchakato wa masuala ya ajira katika Utumishi wa Umma.
Tuesday, March 19, 2013
ZIARA YA KAMATI YA MIUNDOMBINU
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (mwenye suti nyeusi), akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa kamati ya Miundombinu wa namna usafiri wa treni Dar es Salaam unavyofanya kazi, katika kituo cha Stesheni ya Dar es Salaam jana asubuhi . Kamati ya Miundombinu imetembelea usafiri wa treni ya Dar es Salaam ya Shirika la Reli Tanzania (TRL
) kujionea namna usafiri huo unavyofanya kazi.
TRAFIKI AGONGWA NA GARI ENEO LA BAMAGA
Monday, March 18, 2013
Friday, March 15, 2013
WAKATI UNAWAVURUGAJE WANAWAKE?
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WA UJERUMAN NA UJUMBE WAKE
WAZIRI BERNARD MEMBE KUHUSISHWA NA MKASA WA MHARIRI ABSALOM KIBANDA

Katika gazeti la Mtanzania toleo namba 7255 la tarehe 13 Machi, 2013 ilitolewa taarifa yenye kichwa cha habari “SAKATA LA KUTESWA KWA KIBANDA: Membe atajwa” na kwamba eti mimi ninahusika na vitendo vya kikatili na unyama alivyofanyiwa Mhariri Mtendaji Mkuu wa kampuni ya New Habari, Bw. Absalom Kibanda.
Thursday, March 14, 2013
CHUO KIKUU CHA WAANDISHI WA HABARI CHAWAPONGEZA WASHIRIKI MISS UTALII TANZANIA TAIFA2012/13(SCHOOL OF JOURNALISM AND MASS COMMUNICATION)
SIMON MSUVA KUTOKA 'KUDANSI'THT HADI KUWAKIMBIZA MABEKI KATIKA SOKA
KAMA hujawahi kupata fulsa ya kumuona na unasikia tu jina na mambo afanyao uwanjani, huwezi kudhani kama anayetajwa ni mtu mwenye mwili usioendana na mambo makubwa afanyayo ndani ya dimba.
Wednesday, March 13, 2013
ULISHAWAHI KUPAMBWA NA MAZNAT BRIDAL WEYE?!!
haya sasa
maznat bridal inakuletea sherehe ya
miaka kumi tangu ianzishwe....najua maznat kashapamba wengiiii, wewe bi harusi
na matron na maids zako sambamba na wanakamati wako najua ndani ya miaka 10 nao walishaozwa na
wakapambwa na mkono wa
Maznat mimi na wewe
tujumuike
kwa pamoja twende tukashereheke nae
HARAKATI ZA BARABARANI NA VISA VAYKE
Raia kuweni makini muwapo kwenye magari, ile ukiingia tu lock milango! then funga mkanda ndo mengine yafuate! ona hii
DUNIANI KUNA MAMBO!
I LOVE YOU TANZANIA!
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI WA 'CITIBANK'S'
Tuesday, March 12, 2013

FIFA imesema kumekuwa na shutuma kupitia taarifa mbalimbali za vyombo vya habari nchini kuwa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeonesha nia ya kuingilia uendeshaji wa TFF.
Polisi Zanzibar yatoa taswira ya mchoro wa muuaji wa padri Evarist Mushi
Jeshi la polisi Zanzibar limetoa mchoro wa
taswira ambayo inasadikiwa kuwa ndiye sura ya muuaji wa padri Evarist Mushi wa
kanisa katoliki Zanzibar aliyeuwawa mwezi uliopita akiwa njiani
Monday, March 11, 2013
MWANAMAKUKA AWARD 2013 ILIVYOFANA

Friday, March 8, 2013
WAZIRI WA UCHUKUZI DKT. HARRISON MWAKYEMBE AKUTANA NA WANACHAMA WA WAKALA WA FORODHA NA UONDOSHAJI SHEHENA TANZANIA (TAFFA)
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo kwa wanachama wa wakala wa forodha na uondoshaji shehena Tanzania(TAFFA) leo Mchana wakati alipokutana nao katika ukumbi wa Karimjee.
TASWIRA MJENGONI LEO MADE IN TANZANIA
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO MKUU WA PILI WA MWAKA WA WADAU WA PSPF

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Ukumbi wa Jubilee Towers, kwa ajili ya kufungua rasmi Mkutano Mkuu wa pili wa Mwaka, wa Wadau wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), uliofanyika Machi 7, 2013 katika Ukumbi wa Jengo Golden Jubilee Towers, jijini Dar es Salaam
MTANGAZAJI ASHINDWA KUJIZUIA JUU YA MAKALIO
Ina semekana kwamba makalio ya wanamichezo iwe wa kike ama kiume yana mvuto! kutokana na mazoezi! so jamaa wa sports akaropokwa hilo na akatakiwa kua makini na hasa hasa katika vitu vya live kwani LIVE MEANS LIVE !
Thursday, March 7, 2013
MAKAMU WA RAIS DKT BILAL, AMALIZA ZIARA YAKE MKOA WA MARA AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA WATUMISHI WA UMMA MUSOMA

MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI (ABSALOM KIBANDA) APELEKWA AFRIKA KUSINI KWA MATIBABU
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMJULIA HALI MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI ABSOLOM KIBANDA MUHIMBILI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimjulia hali Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda, aliyelazwa katika Wodi ya Moi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baada ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akiingia nyumbani kwake maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.

Wednesday, March 6, 2013
THE LETTER SENT BY GIRL, 11, WHO FEARED SHE BE CUT LIKE HER SISTER
Tuesday, March 5, 2013
Mtoto wa miaka 7 aweka rekodi ya kupanda mlima kilimanjaro hadi kileleni
MAKAMU WA RAIS AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MARA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Ulinzi na Usalama, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Musoma, leo kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili katika mkoa huo. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Gabriel Tupa.
TASWIRA YA UCHAGUZI MKUU NCHINI KENYA

Waziri Mkuu wa Kenya
na mgombea urais kwa tiketi ya chama cha
Coalition for Reforms and Democracy (CORD), Raila Odinga akipiga kura yake
kwenye kituo cha Kibera, mjini Nairobi jana. Wakenya wali piga kura lkatika
uchaguzi mkuu kumpata rais mpya atakayerithi nafasi inayoachwa na Rais Mwai
Kibaki aliyemaliza muda wake na ushindani mkali unaonekana kuwapo kati ya
Odinga na Uhuru Kenyatta.
Monday, March 4, 2013
Mauaji siku ya kupiga kura Kenya

Mmoja wa wale waliojeruhiwa
Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kuwa watu 10,
wakiwemo maafisa wa polisi wawili, wameuawa mjini Mombasa, Pwani ya Kenya.
Tukio hilo lilitokea alfajiri, kuamkia leo wakenya wanapopiga kura.Hata hivyo
polisi walithibitisha vifo vya maafisa wao wawili vilivyotokea wakati polisi
walipowapiga risasi washambulizi waliokuwa wamejihami kwa mapanga. Lilikuwa
shambulizi la kulipiza kisasi.
UCHAGUZI KENYA

Wapiga kura tayari kwa foleni katika mtaa wa Kibera

Foleni ya watu mjini Mombasa

Usalama ulidhibitiwa asubuhi na mapema wakati upigaji kura
ulipoanza
Hii leo wakenya wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria
chini ya katiba mpya. Foleni tayari zimeanza kushuhudiwa katika vituo.Taarifa
zinazohusianaKenyaKinyang'anyiro ni kikali kati ya Muungano wa Cord na Jubilee
wa Raila Odinga na Uhuru Kenyatta.
Kwenye ukurasa huu tutakupasha matukio kila yanapojiri hadi
upigaji kura utakapokamilika mwendo wa saa kumi na moja jioni.Unaweza kututumia
maoni yako kuhusu uchaguzi kwenye ukurasa wetu wa Bofya facebook
Friday, March 1, 2013
Death of man dragged by police van sparks outrage in South Africa
Johannesburg
A man, struggling to get away, is surrounded by South African police in the middle of a street as a large crowd looks on. The officers pull him over to a police van and handcuff his hands, over his head, to the back of the vehicle as he sits on the ground.
Soon, as some in the crowd scream, the van begins to
move. It slowly picks up speed. The helpless man in a red T-shirt is dragged
along the road.
Soon, two officers lift him up by the legs,
apparently to avoid dragging -- but the police van seems to speed up, and the
man's legs fall to the ground, He is dragged hundreds of feet.
Subscribe to:
Posts (Atom)