Thursday, June 6, 2013

SAFARI YA MWISHO YA ALBERT MANGWEHA HAPA ULIMWENGUNI


Mgaza Pende a.k.a M2the p akipita mbele ya jeneza la swaibaake Albert Mangweha


Ni uchungu mkubwa! walikwenda wawili, leo hii mmoja hajimudu mwingine amebaki na bumbuwazi.

Mwili wa Albert Mangweha, ukiwa kwenye uwanja wa jamhuri mjini Morogoro kwaajili ya kuwapafursa waombolezaji kuuaga


Umati wa watu ulofika kushuhudia Ngweha akiagwa.
 Raia wakiwa katika foleni ya kwenda kuuaga mwili wa mpendwa wao Albert Mangweha
Ulinzi tight ulikuwapo, na raia walitoa ushirikiano wa kutii bila shurti mradi tu wamshuhudie mpendwa wao

Watoto wa mji kasoro bahari wakisubiri fursa ya kwenda kuuaga mwili wa mpendwa wao Albert.

Baada ya zoezi la kuaga, safari ya kuelekea katika nyumba yake ya milele ilianza!

Safari ya mwisho ya Albert Mangweha ikikamilishwa hapa duniani
Kzi imekamilika yakumuweka mpendwa wetu katikanyumba yake ya milele.

Amini usiamini hatma ya mwana wa Adam ndo hiyo.


(PICHA ZOTE NA DUSTAN SHEKIDELE NA MUSA MATEJA / GPL)

No comments:

Post a Comment