Niliamua kujiwekea kumbukumbu kwamba nlikutana nao na kuzungumza nao, na kushow love.
Kutoka kushoto ni Chiza Musenge na Emanuel Tabena leo walivyoulambia na ndivyo watakavyoonekana katika tamasha la matumaini.
DAR-ES-SALAAM.
JINA
HILI LA 24 Elders no go beg linawakilisha wale wazee 24 walioko kwenye maandiko
matakatifu, katika kitabu cha ufunuo wazee hao sifa yao kuu ni kumuabudu Mungu
usiku na mchana bila kukoma!. Na Tanzania katika TAMASHA LA MATUMAINI vijana
hawa wamekuja wawili Chiza Musenge na Emanuel Tabena hawa wawili ni raia wa
Congo na makaazi yao ni nchini Kenya.Ambako
wanaendesha shughuli zao za kumtukuza Mungu kupitia gospel
Vijana
hawa waliamua kuimba kwa lafidhi ya
Nigeria na wanigeria hupenda kufupisha maneno ndo wakauita wimbo huu NO GO BEG
Lakini wimbo huo huitwa hivi NO GO BEGGING! Wimbo ambao unapigwa mahala popote,
kanisani,redioni na kwenye vipindi maalumu vya dini! Wako vizuri hawa!
KAMA UMEWAPENDA BARIKIWA! PATA KAZI ZAO 24ELDERS
+254715434761,+254718372542 AU EMMAUELTABENA@GMAIL.COM
TWENZETU
KAMA UMEWAPENDA BARIKIWA! PATA KAZI ZAO 24ELDERS
+254715434761,+254718372542 AU EMMAUELTABENA@GMAIL.COM
TWENZETU
No comments:
Post a Comment