Monday, June 9, 2014
Wednesday, June 4, 2014
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATETA NA RAIS MPYA WA MALAWI PROF. ARTHUR PETER MUTHARIKA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed
Gharib Bilal akiwa na Rais mpya wa Malawi Prof. Arthur Peter Mutharika wakiwa
katika picha ya pamoja baada ya rais mpya wa Malawi kukabidhiwa madaraka leo
jijini Brantyre kwenye hoteli Sunbird. Baada ya kukutana viongozi hao walipata
fursa ya kuzungumzia masuala la kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili na
kukubaliana kuendelea kuwa na mahusiano mema kama nchi zinazoishi ndugu na
jirani. Picha kwa Hisani ya Ikulu ya Malawi
Tuesday, June 3, 2014
WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA MATANGAZO
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. kushoto kwake ni Msaidizi wa Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Idadi ya watu, Dorothy Temu –Usiri na Mkurugenzi wa Mfuko wa vyombo vya habari, Ernest Sungura.
Subscribe to:
Posts (Atom)
