
Showing posts with label SIASA. Show all posts
Showing posts with label SIASA. Show all posts
Tuesday, April 15, 2014
Tuesday, February 4, 2014
Monday, December 23, 2013
Friday, April 19, 2013
WABUNGE SITA WA CHADEMA WASIMAMISHWA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA BUNGE KWA SIKU 5
Wabunge sita wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema akiwemo mnadhimu wa
kambi rasmi ya upinzani bungeni wamesimamishwa Kushiriki katika shughuli za
bunge kwa siku tano baada ya kutokea hali ya sintofahamu bungeni April 17,2013
wakati mkutano wa 11 ukiwa katika kikao chake cha nane ukiendelea,hali
iliyomlazimu naibu spika wa bunge Job Ndugai kusitisha shughuli za bunge katika
hali isiyo yakawaida
Tuesday, March 5, 2013
Monday, March 4, 2013
Mauaji siku ya kupiga kura Kenya

Mmoja wa wale waliojeruhiwa
Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kuwa watu 10,
wakiwemo maafisa wa polisi wawili, wameuawa mjini Mombasa, Pwani ya Kenya.
Tukio hilo lilitokea alfajiri, kuamkia leo wakenya wanapopiga kura.Hata hivyo
polisi walithibitisha vifo vya maafisa wao wawili vilivyotokea wakati polisi
walipowapiga risasi washambulizi waliokuwa wamejihami kwa mapanga. Lilikuwa
shambulizi la kulipiza kisasi.
Wednesday, February 13, 2013
Kenya Presidential Debate A Success
Monday, February 11, 2013
Friday, February 8, 2013
Wakamatwa kwa kutaka kumpindua Rais Kabila
Thursday, January 3, 2013
WANWAKE WA AFRICA 11 BORA KATIKA SIASA 2012
2012 uliwaendea vyema wanawake wanasiasa barani Africa,
wanawake 11, miongoni mwao ni marais 2 na 1 ni kiongozi katika umoja wa Africa
, nakupeleka uwatambue na huu ni utafiti uliofanywa katika bara hili kutambua
mchango wa wana siasa hao katika siasa za Africa.!
Charity Ngilu Mbunge katika bunge la Kenya.
Elsie Kanza Mkurugenzi na kiongozi kutoka
katika nchi za Africa katika World Economic Forum - akitokea Tanzania
Wednesday, October 31, 2012
INJINIA MANYANYA AJITOSA KUTETEA NAFASI YAKE YA UJUMBE WA NEC TAIFA KUPITIA JUMUIYA YA WAZAZI
Injinia Stella Martin Manyanya ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, MNEC Jumuiya ya Wazazi toka mwaka 2007, Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Mjumbe wa SADC PF na Msimamizi wa Kimataifa wa Uchaguzi kupitia vionjo vya Uhandisi, Ujasiriamali na Sanaa alivyokuwa navyo ameamua kujitosa tena kwenye uchaguzi wa kutetea nafasi yake ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kupitia Jumuiya ya Wazazi katika uchaguzi utakaofanyika kesho tarehe 31/10/2012 Mkoani Dodoma
Wednesday, October 24, 2012
UVCCM WAPATA VIONGOZI
MWENYEKITI
UVCCM TAIFA NI Mhe.JUMA SADIFA-2012-2017
MAKAMU
MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI
Mhe.MBONI MHITA
WAJUMBE NEC
Jery Slaa
Deo Ndegembi
Anthony Mavunde
Jonas Nkya
Jery Slaa
Deo Ndegembi
Anthony Mavunde
Jonas Nkya
Kutokea
JF
Tuesday, October 23, 2012
RAIS KIKWETE KATIKA KILELE CHA MKUTANO MKUU WA UWT DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili
katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufunga mkutano mkuu wa Umoja wa
Wanawake Tanzania (UWT)
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufunga mkutano mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)
Mwenyekiti wa UWT mheshimiwa Sofia Simba akiongea jambo lililo chechemua meza.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufunga mkutano mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)
Subscribe to:
Posts (Atom)











