Maashallah motto ana
mvuto wa hatari, japokua ananyanyua vitu vizito, kinachonishangaza, huko huko
aliko, wenziwe wakinyanyua vitu vizito wanashupaaje? Songa nayo!
Yuko vizuri mno! Eeeeh,
namsifia motto wa kike mwenzangu, yes kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo!
Hapa akiwa na nguo za
mazoezi na tabasamu tele usoni
Jane akiwa kwenye push
ups! Uso nyororo, anayafurahia mazoezi, jamani nambieni huyu ameweza ana nini
wenziwe wawe wameshupaa sababu ya stereoid? Midawa yao hiyo, sijui nimepatia? Ah
humo humo.
Mdada huyu Lisa Cross,ana miaka 35 leo na anadai kua mazoezi ya kuinua vitu vizito yamemsaidia sana kutoka katika ugonjwa uliokua ukimsumbua, na hayo aliyamudu baada ya kua na boyfriend mnyanyua vitu vizito,mwanzoni alikua mwembamba mno,na babake alimpiga picha, leo ana kula calorie 5,000 katika milo midogo kumi anajisikia furaha kwa muonekano wake.
jane
akikubadilishiamikao na nguo tofauti tofauti, anajivunia muonekano wake na kwa
hakika hatishi kama wengine walivyo.
Huu
ni muonekano wake kwa nyuma, ameondoa mafuta mwilini, na anaonekana vyema tu! Kwakweli
namtamani,ningekua mimi lol! Kiukweli stanii.
Wanyanyua
vitu vizito walio wengi huwa wana finyangika na kua na miili ilo shupaa, lakini
kwa mdada huyu kutoka East Africa ,aliyezaliwa na kukulia katika jiji la Nairobi
nchini Kenya,aitwaye Jane Mukami ana
tajwa kama the sexiest female body builder in Kenya.
Kwa
sasa Jane anaishi Atlanta, na huko Jane anajulikana kama ’fitkenyangirl’na
anashawishiwa kushiriki katika mashindano ya ulimbwende akiwa na muonekano wake
huo .
Jane
yeye ame graduate katika Computer
Information Systems katika chuo cha Kennesaw State University, Mukami amefundishwa
na mwalimu wa kunyanyua vitu vizito
aitwaye Rashid ‘Roc’ Shabazz wa shirikisho la Roc
International Federation of Bodybuilding (IFBB).
Jane
Mukami amejaaliwa mafanikio kadhaa maishani
mwake na hasa upande wa body building competition katika jimbo la South
Carolina,mnamo mwaka 2011, katika half marathon imwaka 2009 ambapo alifuzu na kuchukua nafasi ya 1st, na pia katika michuano body building huko Atlanta, na hapo alinyakua nafasi ya 2.
No comments:
Post a Comment