
Wasanii,waandaji,mashabiki na wadau wa muziki wa kizazi kipya tanzania wameungana kupokea mwili wa marehemu Albert Mangwear pale Air Port Mchana wa jana
aliyeshika msalaba ni rafiki wa karibu wa marehemu Albert Mangwea, aitwaye Mchizi Moxie
Wasanii na wadau mbalimbali waburudani wakiwa wametua baada ya kushuhudia mtanzania mwenzetu aliyetutoka ALBERT MANGWEA ukiwa umewasili jana.
Professor J na Lamar the producer him self, walikuwepo kuonesha msikamano
No comments:
Post a Comment