Tuesday, November 12, 2013

HII KALI!


LUCY KIBAKI



Nadhani wengi mtakua na maswali yasiyokua na majibu,mahala aliko mwanamke wa shoka,mbabe,aliyekua first Lady wa taifa la Kenya alipojificha!.

Hakuna taarifa zake zozote kumhusu mwanamke wa shoka kutoka eneo la Nyeri  ambaye pia inaelezwa kwamba alikua akimkung’uta mumewe, kiasi ambacho wakati Fulani alikaribia kumvunja mguu mumewe ambao si mzima katika ikulu ya taifa hilo .

Ni habari ya kusikitisha , inataarifiwa kua “KaLucy”  alishakufa miezi 8 iliyopita na akazikwa kwa siri. Kabla ya kifo chake yaelezwa kua  “KaLucy”  alikua mgonjwa taabani kiasi cha kua mwehu . Kama hiyo haitoshi ! maziko yake yalifanywa kwa siri huko kwao maeneo ya Muthaiga na walioruhuiwa kushuhudia na maziko hayo ni majirani wachache walioko eneo hilo la Muthaiga waliokua na taarifa! .

APUMZIKE KWA AMANI LUCY KIBAKI.

No comments:

Post a Comment